TATIZO la kutopata mimba linawasumbua wengi na huwapata wanawake kadhaa katika jamii, huweza kumpata mtu mmoja kati ya wanandoa 12 na ni tatizo linalowapata watu zaidi ya milioni 24 duniani kote. Hivyo katika makala hii tumeelekeza dawa za kutatua tatizo hilo